Nitapungua Kifua, Miguu Lakini Tumbo No :-Msechu

Msanii peter msechu amefunguka na kusema kuwa amekuwa akikwazwa sana na watu wanaomsema vibaya kuhusu mwili wake hasa upande wa tumbo kuwa amekuwa na tumbo kubwa limemzidia na hataki kulipunguza.

Akiongea na moja ya waandishi, Peter Msechu anasema kuwa watu wamekuwa wakimuona akiingia gym na kudhani kuwa anateseka sana  na tumbo alilonalo lakini kitu wanatakiwa kujua ni kwamba kamwe hatokaa aangalie namna ya kuondoa tumbo kwa sababu kuondoa tumbo ni mateso na wala hafikirii kulipunguza.

download latest music    

Peter anasema kuwa , Nitapunguza kila kitu lakini sitapunguza tumbo, nitapunguza tumbo, kichwa a kila kitu lakini tumbo nalitamani pale pale.Tumbo huwa ni rahisi sana kuliongeza lakini sio kulipunguza , mimi napenda sana wali maharage na linazidi kurefuka lakini sijashindwa kulipunguza.

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.