Nyoshi Amjibu Dudu Baya Kuhusu Wasanii wa Dansi kufulia.

Msanii wa dansi nchini Nyoso El Sadaat amemjibu Dudu Baya baada ya msanii huyo wa bongo fleva kuwajia wasaniwa dansi na kuwaambia kuwa wamefulia sasa hivi kwa sababu walizoea kuomba msaada kutoka kwa matajiri na kwa sababu hali ya uchumi sasa hivi kila mtu anajibana na ndio maana hakuna wanachofanya zaidi ya kufulia.

Dudu bata alisema “wasanii wa dansi sasa hivi ni wachafu sana , wamefulia tu hawana tena watu wa kuwaomba ela kabisa.Walikuwa wamezoea kuomba ela , awamu hii wa Magufuli watapata  tabu sana.

download latest music    

Hapo ndipo alipompanikisha Nyoshi na ndipo alipomjibu kuwa wao hawawezi kufulia hata siku moja kwa sababu mabosi wao mpaka sasa wapo na wanaendelea kutoa pesa na hakuna kitu kama icho kinaweza kutokea.

Mabosi wapo na hata uko kuwataja hakumaanishi kwamba tunawabebeleza watupe ela wao huwa wanatoa tu, kama kufulia tungefulia kwenye nguo mngeona tunavaa vibaya mbona tunapiga pamba kama kawaida tu hata hii miwani yangu kuna mtu kaniomba nimpe.

 

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.