Nyumba Mpya ya Shiloleh Yampa Jeraha.

Mwanadad Shiloeh amefunguka na kusema kuwa nyumba yake mpya ambayo amehamia siku za hivi karibuni ilimtoa ngeu baada ya kudondoka katika nyumba hiyo usiku alipokuwa narudi katika kazi zake.

Akionekana kama mtu aliyepigwa kutokana na majeraha makubwa aliyokuwa nayo hasa sehemu za usoni na hata watu kuhisi pengine labda ampigwa na mume wake alipokuwa katika siku ya mwanadada Nandy , Shiloleh alikanusha taaarifa za kupigwa na kuesma kuwa ni baada ya kuhamia katika nyumba yake ndipo alipopata hayo majeraha.

download latest music    

Shiloeh anasema ‘unajua kuwa juzi juzi ndio nimehamia kule kwenye nyumba yangu majohe sasa nilikuwa nimerudi usiku na nilikuwa nimerudi nimechoka na hakuna umeme bado basi niliporudi nikawa nimejigongwa kwa sababu ya giza.Nyumba yenyewe nilikuwa bado sijaizoea na hii pati nimealikwa na nilimwaidii nandy kuwa nitakuja kwaio nisngeweza kuacha kuja.

Hata hivyo majeraha hayo hayakumfanya shiloleh kuwa mnyonge katika pati hiyo ambayo nandy alikuwa pia anafanya uzinduzi wa album yake ya kwanza.

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.