Omarion Akiri Kujisikia Fahari Kuimba Kiswahili

Mwanamuziki wa RnB kutoka Marekani, Omarion amefunguka na kukiri kuwa amejisikia fahari kuimba kwa lugha ya Kiswahili kwenye wimbo wa african Beauty.

Diamond amemshirikisha Omarion kwenye wimbo wake mpya wa African beauty unaopatikana kwenye Album yake ya ‘A boy From Tandale’.

download latest music    

Omarion amefunguka kuhusu kuimba wimbo huo kwa lugha ya kiswahili ambapo amekiri kuwa ni jambo jela kufanya kwa sababu msanii ambaye alikuwa Role model wake Michael Jackson aliimba kiswahili kwenye nyimbo zake zaidi ya mbili.

Kupitia ukurasa wake wa Instagram, Omarion alifunguka haya kuhusiana wimbo huo:

Penzi ntalipamba ngonjera, Huba kama  Tanga segera kwa viuno vya baikoko kutoka Manzabay, picha twazitwanga kusema, posti insta wanga kuwakera. (Fun fact) Michael Jackson sang Swahili on Liberian Gal and wanna be startin something. What a pleasure I have continuing the work of my musical forefathers M.J connecting my understanding of one another through culture and language it’s all live. I am around the globe with this ?”.

 

About this writer:

Diana

I am a hard working young woman Aspiring writer with dreams larger than life itself, always living by the principle that live today like there is no tomorrow.