Ommy Dimpoz Akerwa na Maisha ya Mitadao juu ya Ukaribu Wake na Alikiba

Msanii Ommy Dimpozi ambae amechukua sana vichwa vya habari katika vituo na kurasa mbalimbali hasa baada ya kutoka katika hali mbaya aliyokuwa nayo na sasa kurudi katika hali nzuri ya kuwafurahisha mashabiki wake ambao walikuwa na wasiwasi kutokana na hali mbaya ya kiafya aliyokuwa nayo ameongea  jinsi matumizi mabaya ya mitandao yanayomchafua roho.

hata hivyo, msanii huyo anasema kuwa watu wamekuwa hawajui kabisa matumizi ya mitandao ya kijamii kiasi kwamba hata wanakuwa wakikaa wakiuliza  juu ya ukaribu wake na Alikiba kwa sasa ilhali wasanii hawa kwa sasa wamekuwa wakifanya kazi pamoja.

download latest music    

Ommy anasema kuwa amekerwa sana na tabia ya baadhi ya mashabiki walipokuwa wakimtumia sms Dm na kumuuliza kwani hajamposti alikiba katika ukurasa wake kumpa pole baada ya kufiwa na baba yake.

Ommy anasema kuwa amekerwa na swala hilo kwa sababu watu wengine wamekuwa akitaka maisha ya watu kuwa kama matangazo wakati kila mtu ana uhuru wa kuwa na maisha yake Private.

 

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.