Penzi la Sajent na Dulah Makabila Laota Mbawa.

Mwanamuziki wa muziki wa Singeli Dullah Makabila na aliyekuwa mpenzi wake Husna Sajent wadaiwa kumwagana na sasa hivi ni maadui wakubwa huku kila mmoja akikaa kimya na kukana tuhuma hizo ili kukwpa aibu ya kushangazwa na watu kwa kuwa kipindi cha mahusuiano yao walikuwa wameonekana kushibana sana.

Wawili hao ambao walikuwa wakionekana kupendana sana na kusemekana kuwa hawawezi kuachana kwa madai kuwa wanatagemea kufunga ndoa hivi karibuni lakini kwa habari za kunyapia ni kwamba wawili hao sasa ni maadui na penzi halipo tena.

download latest music    

Sajent ndie alikuwa meneja wa msanii huyo wa singeli huku akiwa na wasanii wengine wa singeli kama kina Sholo Mwamba lakini kutokana na wawili hao kujiingiza katika mapenzi ilimfanya meneja huyo(Sajent) kushibdwa kufanya menejiment kwa wasanii wengine na kujikuta akigombana na wasanii wengien kwa sababu ya kuwa na mapenzi na Dullah Makabila.

Akiulizwa kuhusu kuachana huko, husna sajent alionekana kuchukizwa na thuma hizo na kusema”hivi hakuna wasanii wengine wenye mahusiano ambao mnaweza kuwahoji , basi naomba muwaulize hao mimi nipo busy kwa sasa”

Kipindi  cha mapenz ya wawili hao yanavyoanza , Dullah makabila alikuwa na uhusiano na mwanamke mwingine alikuwa akijulikana kama Asali ambae alitoa hata mimba baada ya kupokonywa  bwana huyo na husnasajent.

Ni kawaida kwa wasanii na watu maarufu kushindwa kumudu katika mapenzi tena kwa Sajent na Dullah Makabila inakuwa ngumu zaidi kwa sababu wawili hao walikuwa ni mtu na bosi wake hivyo upande wa kazi pia unakuwa umeharibika.

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.