Petit Adaiwa Kufunda Ndoa ,Mwanamke Wake Bado ni Kitendawili.

Wikiendi yote imepita lakini habari zinazosambaa katika mitandao ya kijamii ni kuhusu ndoa ya Petit man na mwanamke asiejulikana kama kweli ndio huyo anaesema katika mitandao ya kijamii au la.

Kumekuwa na tetesi nyingi kuwa petit amekua na mahusiano ya kimapenzi na mwanadada careen ambae ni chipukizi katika muziki wa bongo , mwanadada ambae pia anaweza kuwa na umaarufu kutokana na kazi nzuri anayofanya baba yake Gadner G Habash.

download latest music    

Hata hivyo Petit mwenyewe alithibitsja kuwekpo kwa tukio la kufunga ndao ingawa badi haijaafahamika kuwa ndoa hiyo amefunga na mwanamke gani.

Hata hivyo kurasa nyingi za uadaku zimkeuwa zikimtangaza Careen kama mke mpya wa Petit huku wakimpa mapovu mengi mke wa kwanza wa petit ambae ni dada wa msanii Diamond Planumz anaejulikana kama Esma Platinumz.

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.