Petit Man Amjibu Billnass Kuhusu Kuondoka Katika Lebo Yao

Siku ya jana , msanii wa bongo fleva nchi Billnass alithibitisha kuwa kwa sasa hafanyi tena kazi na petit man na akasema kuwa aliyekuwa meneja wake huyo ameshaondoka katika lebo hiyo, akionekana asiye na wasiwasi billnass alipokuwa akiongea katika kipindi cha XXL, alisema kuwa Petit Man alisababisha damage kubwa sasa kwake kitu kilichofanya yeye kuona kuwa kuna  unafuu wa meneja huyo kuondoka katika lebo hiyo.

Hata hivyo watangazaji wa Clouds Radio hawakutaka kusikiliza upande mmoja hivyo waliamua kumtafuta kwa simu mhusika Peti Man ili aweze kujibu yake aliyoyasema Billnass kuhusu kusababisha athari kubwa kwa msanii huyo.

download latest music    

Peti Man alisema mimi ni moja ywa watu waliongia ghrama nyingi sana juu ya muziki wa billnass na ninaweza kusema kuwa yeye ndio kanitia hasara,lakini kwa sababu tulikuwa tukifanya kazi pamoja hivyo nilimchukulia kama mwanafamilia .siwezi kusem chochote kuhusu hilo lakini muda ukifika kila kiyu kitakuwa wazi.-Aliongea Petit Man kwenye simu.

Hata hivyo baada ya petit kuka ta simu, bilnass alisema kuwa hata kama damage hiyo inaweza isiwe ya pesa lakini bado alichokifanya kilim-cost sana.

Alipoulizwa Billnass kupitia kipindi hicho hicho, kuhusu mahusiano yake ya sasa na aliyekuwa meneja wake huyo bilnass alijibu kuwa hawana ugomvi wowte na wamekuwa wakisalimiana ingawa hawana ukaribu wa kikazi.

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.