Picha 10 za Dogo Janja ambazo ni dhibitisho kuwa anang’ara kimavazi kushinda Diamond Platnumz

Muonekana wa Dogo Janja dhibitisho kuwa mwanamuziki huyo amewekeza pesa na muda katika mavazi. Dogo Janja sasa anashindana na Diamond kung’ara.

Msanii Madee alisema kuwa Dogo Janja amefanikiwa katika uvaaji kwa asilimia 92, alifunguka na kusema kuwa alikaa na Dogo chini na kumshauri

download latest music    

“Hicho ndio kitu tulijaribu kumshauri Janja na tukakaa naye vizuri na kumueleza na ndio kitu amefanya na amefanikiwa kwa asimilimia 92 na baada ya siku kadhaa naamini tutafika kule ambapo tunataka Janja awe na ule muuonekano,” Madee aliambia kipindi cha Planet Bongo cha East Africa Radio.

Picha hizo hapo chini ni dhibitisho kuwa anang’ara kimavazi kushinda Diamond Platnumz:

About this writer:

Martin Oduor

Ultimate keyboard ninja dedicated to bringing you the juiciest stories on blogosphere