Picha mpya za Vee Money za wazingua mashabiki, Ni kweli kuwa amenenepa? (Picha)

Msanii na mrembo wa bongo Vanesaa Mdee ameachia picha mpya usiku wa kuamkia leo huku akionekana kuwa ameongeza weight katika sehemu ambazo mtu hawawezi kosa kujua.

Vanessa aliwachia picha hizi kupitia mtandaow ake wa Instagram huku akizingua akina idris Sultan na mashabiki wake ambao huwa mkondo wa kwanza kujua anachofanya mkali huyu.

download latest music    

Picha hizi hata hivyo sio siri kuwa ni za kuvutia na nguo yake ya manjano na viatu vyake vya chini.

About this writer:

Pauline Syombua

Content Developer IG: Kermbua