Picha za Vannesa Zilizoleta Gumzo,Inasemekana Ni Mjamzito.

Kuna picha zimekuwa ziki-trend katika mtandao wa instagram zinazomhusu Vannesa Mdee huku zikimuonyesha sehemu kubwa ya tumbo lake likiwa limetuna na watu kuanza kudai kuwa inawezekana msanii huyo ni mjamzito.Picha hizo zimeibua hisia tofauti kwa mashabiki wake huku weng wakionekana kufurahishwa na kumpongeza yeye na mwanaume aliyenae katika mahusiano ambae ni msaii mwenzake jux.

Mashabiki wamekuwa wakitoa maoni huku wakisema kuwa sasa ndio wanaanza kuamini kuwa wawili hao watafanikiwa kufnga ndoa kwa sababu mwanadada huyo tayari ameshadaka kibendi.Hata hivyo Vannesa na Jux wote hawaja-confirm swala hilo na wamekuwa kimya.

download latest music    

Vannesa na Jux wamekuwa  wapenzi kwa muda mrefu na wameoitia migogoro hapo katikati ya kuwafanya waachane kabisa lakini inawezekana kuwa msukumo mkubwa wa mashabiki umewafanya wasanii hao kurudiana tena na hata hivyo baada ya kurudiana , Jux alihaidi kuhakikisha kuwa hawatagomaban tena na kitakachofuata ni ndoa.

 

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.