Picha 5 za Wasanii Na Watoto Wao

Wasanii wa filamu na wanamuziki wa Bongo movies kama ilivyo watu wengine wana familia na wana watoto kupitia mitandao ya kijamii mashabiki wanapenda kuangalia na kuwafatilia watoto wao na familia zao.

Leo tutaangalia wasanii watano wakiwa na watoto wao:

download latest music    

1. Ali Kiba

Mwanamuziki wa Bongo fleva Ali Kiba ana watoto watatu wanaoitwa Kiba junior, Amiya na Sameera ambao anapenda kuwaweka kwenye kurasa yake ya instagram , hizi ni baadhi ya picha za watoto.

.

 

2. Diamond Platnumz

Mwanamuziki Diamond ni moja Kati ya wasanii ambao ni kivutio kwa watu, Ana watoto watatu wawili aliozaa na Zari ambao ni Nillan na Tiffah na mtoto mmoja aliyezaa na Hamisa Mobetto anayeitwa Dyllan.

 

3. Master Jay

Mtayarishaji wa muziki Master Jay ni moja kati ya staa mwenye watoto watatu ambao ni Catherine, Nuru na Silvia.

 

4. Aunty Ezekiel

Mwigizaji wa Bongo movie Aunty Ezekiel amezaa mtoto na mcheza shoo wa Diamond Moses Iyobo, cookie ana miaka miwili.

5. Hamisa Mobetto

Mwigizaji Hamisa Mobetto ana watoto wawili binti yake Fantansy aliyezaa na Majizo mkurugenzi wa EFM na Diamond Platnumz aliyezaa nae mtoto mdogo Dylan.

 

 

 

About this writer:

Diana

I am a hard working young woman Aspiring writer with dreams larger than life itself, always living by the principle that live today like there is no tomorrow.