Picha za Wema,Esma na Wcb Zazua Mjadala Mitandaoni.

Huku bado mahusiano ya kimapenzi katika ya Diamond na Zari yakiwa bado hayajakaa sawa baada ya Zari kusema kuwa hana mapezni tena na Diamond Platinumz kutokana na kuwa na tetesi nyingi za kuwa na wanaume tofauti tofauti, huku upande wa pili mambo yanazidi kupamba moto kutokana na ukaribu walionao Wema Sepetu na Esma Platinuzm .

Wema Sepetu ambae ni miss tanzania inasemekana kuwa ni ndo chanzo kikubwa cha kuwafanya Zari na Diamond kuachana baada ya kuonekana kuwa karibu na Diamond siku za hivi karibuni anazidi kuoneka kuwa karibu na wasanii wa wcb na  dada yake Diamond ambae pia siku za nyuma ilisemekana kuwa hayupo kribu na kaka yake wala aliyekuwa wifi yake (Zari) kwa madai kuwa wawili hao walikuwa wana mgogoro.

download latest music    

Tetesi za Esma kuwa na chuki na Zari zinaanza kuthibitika kwa sababu ya ukaribu mkubwa aliyonao na wema ambapo hapo mwanzo kipindi mwanadada huyo amegombana na Diamond hawakuwa kama walivyo sasa na hata kuanza kuonekana katika events mbalimbali za lebo hiyo.

wakioenaka kuwa karibu siku ya uzinduzi wa club ya Rommy Jonnes inayojulikana kama Octagon, Wema Sepetu alikuwa karibu na kila msanii kutoka wcb, huku kampani yake kubwa ikiwa na Esma ambae ni dada yake na Diamond.

                                                                

Wema sepetu akiwa na wasanii wa wcb.

                                                                        

                                                                Alichoweka Esma snapchart

 

                                                         Alichokipost Wema snapchart .

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.