Pretty Kind Ahaidi Kumpindua Mobetto Kwa Diamond

Msanii wa Bongo fleva Suzan Michael maarufu kama Pretty Kind amefungukia azma yake ya kumpindua Hamisa Mobetto na kumchukua Diamond.

Pretty Kind amefunguka na kudai ameamua kusema hayo hadharani kwani Diamond amekuwa akimnyima usingizi siku nyingi kwa mapenzi aliyonayo kwake.

download latest music    

Kwenye Interview aliyofanya hivi karibuni na Global Publishers Pretty Kind alifunguka na kusema:

Nitamn’goa tu Diamond kwa Mobetto kwa sababu nampenda sana, ananikosesha usingizi huyu Mobetto asidhani amefika. Kuna wakati niliona ilikuwa ni ngumu kumpata Diamond kwa kuwa Mama yake alikuwa akimpenda sana Mobetto lakini sasa naona njia nyeupe baada ya Mobetto kuchezea kichapo”.

Hivi karibuni imesekana kuwa hali si shwari kati ya Hamisa Mobetto na Mama mzazi wa Diamond Bi. Sandra baada ya kudaiwa alimpa kipigo cha mbwa mwizi baada ya kumkuta nyumbani kwake Madale.

Diamond alirudisha majeshi yake kwa Hamisa mapema mwaka huu baada ya kumwagwa na kama watoto wake Zari.

About this writer:

Diana

I am a hard working young woman Aspiring writer with dreams larger than life itself, always living by the principle that live today like there is no tomorrow.