Wembamba Ndio Dili, Unene Uchafu:- Ray C
Mwanadada aliyewahi kwa muda mrefu katika game la muziki na baadae kupotea kwa muda(RAY C) amefunguka na kusema kuwa mwili wake ambao ulikuwa ukionekana mkubwa sana kutokana na kunenenpa sana na kupoteza uhalisia wake wa hapo awali ulimtesa sana na kwamba ilikuwa iafikia hatua mbaya ya kupata ugonjwa wa shinikizo la damu ndipo aliposhauriwa na daktari kupunguza mwili huokabla hajakutana na hatari ya ugonjwa huo.
naomba niwashauri wale vibonge kuwa wembamba ndio dili , unene ni uchaafu tu kwani hata kujisugua bafuni ni kazi,ukipindisha tu mkono mgongoni unahema kama unafanya jogging kumbe unaoga tu binafsi sitaki kabisa kuusikia unene.
Baada ya matatizo aliyoyapa ray c mwili wake ulikuwa mnene sana na kusababisha kufanya mazoezi na kupunguza vyakula vya mafuta ili kupunguza mwili wake.