Rayvanny awachia picha mpya akiwa na mwanae

Msanii wa Wasafi records Rayvanny amewafurahisha wengi baada ya kuachia picha mpya akiwa na mwanae, Jaydanvanny katika mtandao wake wa Instagram.

Picha hii ameiwachia wiki kadhaa baada ya msanii huyu kumueka mtoto wake mitandaoni yake ya kijamii. Hata hivyo iliwavutia wengi hata Diamond Platnumz ambaye alimsifia kwa kuwa yeye ni baba kwa Sasa.

download latest music    

Rayvanny na mpenzi wake Fahyma walibarikiwa na mtoto huyu miezi kadhaai iliyopita na ukilinganisha picha hii na zile za awali;

About this writer:

Pauline Syombua

Content Developer IG: Kermbua