Baada ya Kusameheana, Romy na Baraka Kutambulisha Ngoma ya Pamoja

Ikiwa hawana muda mrefu tangu walipokuwa katika mgogoro baada ya Romy Jons kusemekana kuwa amemtongoza Najma ambae ni mpenzi wake na Baraka hivyo kuwa fanya wawili hao kuingia katika headlines kuwa wamgombana,

Lakini siku ya April 19 ,Romy Jons aliamua kuomba msamaha na kusema kuwa amekubali kosa lake na amaeona haina haja ya yeye na barak kuendelea kugombana wakati wanauwezo wa kukaa pamoja na kufanya kazi ili kutokemeza umaskini kwa vijana.

download latest music    

Leo tena katika ukurasa wake wa instagram, Romy Jons amendika caption iliwaacha mashabiki wakishangaa kidogo kuhusu uhusiano wao kwa sababu Romy anasema kuwa ili kuwaonyesha mashabiki kuwa hawana bifu tena wameamua kufanya ngoma yao ya pamoja lakini mashabiki wameanza ku-judge kuwa inawezekana wawili hawa walikuwa wametengeneza kiki ili kuupa wimbo huo umaarufu.

KESHO IFIKAPO SAA KUMI NA MBILI JION PANAPO MAJALIWA NITAACHIA NGOMA YANGU YA KWANZA  NILIYOMSHIRIKISHA BARAKA THE PRINCE ITAKAYO PATIKANA KATIKA ALBUM YANGU INAYOITWA CHANGED.NIMEONA NIANZE NA HII NILIYOMSHIRIKISHA BARAKA ILI KUWAONYESHA WATU KUWA TLISHAMALIZA TOFAUTI ZETU.TUSUBIRI ZAWADI YETU IFIKAPO HIYO KESHO SAA 12.ASANTENI SANA , IJUMAA KAREEM

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.