Romy Aongelea Kutochezwa kwa Nyimbo za Rich Mavoko Wasafi Tv

Dj maarufu wa msanii mkuwa diamond platinumz amefunguka na kuongeea swala la Wasafi Tv kutocheza nyimb za msanii rich mavoko ambae hapo awali alikuwa msanii wa lebel hiyo lakini kwa sasa wametengana baada ya kupelekana BASATA.

Rommy anasema kuwa hakuna ubaguzi wa wasanii katika tv yao lakini labda tu mzunguko wake haujafika na kama ukifika bas nyimboi zake zitachezwa kwa sababu kama zimekuwa zikipigwa za Alikiba na Ommy kwa nini sio zake.

download latest music    

sidhani kama kuna shida , kwa sababu tumepiga za Alikiba, na ommy dimpoz kwanini tusicheze za Rich mavoko ukiona haijachezwa basi ujue mzunguko wake haujafika tu.mzunguko wake ukifika itachezwa na itabaki kuwa ile ni ya kwetu sote.

Hivyo Rommy anathibitisha kuwa hakuna makatazo yoyote kutoka kwa uongozi wa WCB kuhusu kutopigwa kwa ngoima za Rich mavoko.

 

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.