Rosa Ree Afunguka Hakuna Mwanaume wa Kumhonga

Mwanadada anaefanya vizuri katika kiwanda cha muziki kwa upande wa rap ,Rosa ree amefunguka na kusema kuwa katika maisha haliyoishi mpaka kufikia sasa hivi aona kama kuna mwanaume anaeweza kumhonga hela nyingi za yee kuridhika nazo .

Mwanadada huyo ambae amekuwa akionekana na muonekano wa kiume kila siku na imekuwa ikisemekana kuwa hana mwanaume katika maisha yake ya kimahusiano anasema kuwa haoni kama mwanaume anaweza kumpa ela yoyote inayoweza kumridhisha.

download latest music    

Pia rosa ree anasema kuwa huwa hawaelewi sana wanaume wanapokuja na kumhonga kwa sababu anakuwa haelewi kama  ndio wanaonga au wanajaribu ” mimi sihongeki , kwaio hata mtu akinionga huwa nashindwa kuelewa ni kwamba annihonga au ananijaribu.”

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.