Rosa Ree Anunuliwa Mjengo Wa Milioni 400 na Uongozi Mpya (+picha)

Mwanamuziki wa Bongo fleva anayefanya miondoko ya kurap Rosa Ree ameanika mijengo yake miwili aliyonunuliwa na uongozi wake mpya.

Siku ya jana Rosa Ree aliita waandishi wa habari Kwenye mjengo wake mpya wenye thamani ya shilingi milioni 400 ili kutambulisha uongozi wake mpya uliopo nchini Afrika ya Kusini unaoitwa Dimo Production South Africa.

download latest music    

Rosa Ree ametangaza kusaini mkataba wa miaka mitatu na record label ambayo imeweka wazi kuwa imeamua kumnunulia nyumba mbili moja nchini Tanzania na nyingine nchini South Africa.

Hizi ni baadhi ya picha za mjengo huo uliopo nchini South Africa:

.
.
.
.

About this writer:

Diana

I am a hard working young woman Aspiring writer with dreams larger than life itself, always living by the principle that live today like there is no tomorrow.