Rosa Ree watolea Povu Wanaomsema Kuhusu Style Yake ya Kubinua Midomo.

Mwanadada anaefanya vizuri katika ku-rap Rosa ree amefunguka na kusema kuwa anakerwa sana na watu wanaokaa na kumsema vibaya kuhusu tabia yake ya kubinua midomo ilhali hakuna cha maana wanachomuongezea katika maisha yake na katika kile anachokifanya.

Rosa ree amesema kuwa hiyo ni style yake ya pekee yake katika nyimbo zake na inawezekana ndio inayowatofautisha na watu wengine.

download latest music    

hawanilipii bili pamoja na kubinua kwangu midomo na kutoa ulimi, sasa hivi nina super market , nimefanya kolabo na wasanii wengine  wa kimataifa, nafany vitu vikubwa mimi mwenyewe maneno ya watu hayajiandiki usoni wala hazilipi bili ila zingekuwa la ningejali.

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.