Rostam na Maua Sama Wawasanua Mashabiki Zao

Wasanii wa muziki wa Bongo fleva wanaounda kundi la Rostam Roma na Stamina pamoja Maua Sama Wake wateja Mashabiki zao Baada ya kuanzisha msemo wa Tunafunga Jumla jumla.

Katika kurasa zao kwenye mitandao ya kijamii, wawili hao wamekuwa wakiposti picha zao na wakati mwingine wa tukio fulani wa­kiambatanisha na maneno Tunafun­ga Jumla Jumla, jam­bo ambalo mashabiki wengi wamekuwa wak­ishindwa kung’amua maana yake.

download latest music    

Kwenye mahojiano aliyofanya na Gazeti la Risasi Jumamosi, Roma alisema neno hilo alianza kuliona kwa Stamina lakini anashangaa wengine wameanza kuliiga huku wengi wakiomba ufafanuzi.

Ukiniuliza maana yake sielewi ila ni misemo kama ilivyo misemo mingine. Mfano Mangi anaweza kufunga duka akasema nafunga jumla jumla, au mama n’tilie, muuza maji, karanga na wengine wengi kwa hiyo suala la biashara kuna kufunga jumla jumla”.

 

About this writer:

Diana

I am a hard working young woman Aspiring writer with dreams larger than life itself, always living by the principle that live today like there is no tomorrow.