Sakata La Muna Kutelekeza Mtoto Lachukua Sura Mpya

Siku mbili zilizopita stori iliyotawala Kwenye mitandao ya kijamii ni Tetesi za Mwanamuziki wa nyimbo za Injili Rose Alphonce maarufu kama Muna Love.

Global Publishers waliripoti kuwa ndugu wa karibu wa Muna ndio wamemnyooshea kidole kwa kitendo chake cha kumtelekeza mtoto wake Nyumbani kwao Moshi.

download latest music    

Baada ya taarifa hizo kuzagaa Mtandaoni Muna alikana kabisa na kusisitiza wanaosambaza taarifa hizo wana nia moja tu ya kumchafua ili aonekane mbaya.

Siku ya leo Muna Kupitia ukurasa wake wa Instagram ameandika kuwa Mtu ambaye amesambaza taarifa hizo yuko mikononi mwa polisi na ambaye amemtuma ni mama yake mzazi na dada yake:

 

About this writer:

Diana

I am a hard working young woman Aspiring writer with dreams larger than life itself, always living by the principle that live today like there is no tomorrow.