Sasha Aanika Wowowo La Mama Yake Kuthibitisha Kuwa ni ‘Origino’

Video vixen maarufu kwenye tasnia ya Bongo fleva  Sasha Kassim ameibuka na kuweka maungo ya mama yake hadharani ili kuthibitisha kuwa maungo yake ni halisi na sio mchina.

Sasha alifikia uamuzi wa kufanya kufanya hayo Baada ya kuwepo kwa tetesi kuwa umbo namba nane alilojaliwa sio origino Bali ni mchina taarufa ambazo amekuwa akizikana tangu mwanzo.

download latest music    

 

Kwenye mahojiano aliyofanya na Gazeti la Ijumaa,a Sasha alidai kuwa watu wengi wamekuwa wakimsema kuwa anatengeneza shepu bila kujua kuwa shepu hiyo inayompa matatizo kila kukicha ameirithi kwa mama yake ambaye amefanana naye vitu vingi.

Unajua kila siku nawaambia watu kuwa si-fake shepu lakini hawaelewi, sasa nimeamua kumuanika mama yangu ili waone kuwa ‘matatizo’ haya nimepata kutoka kwa mama yangu“.

Sasha aliweka wazi kuwa hivi sasa amepotea na hasikiki kama zamani kwani yuko bize na shule ambapo amedai kuwa anasoma kama chuo cha udaktari Bugando.

 

About this writer:

Diana

I am a hard working young woman Aspiring writer with dreams larger than life itself, always living by the principle that live today like there is no tomorrow.