Shabiki Amuandikia Wema Barua, Amtahadharisha Kuishi Maisha Magumu Baadae.

Moja ya wadau wa sanaa na shabiki wa sanaa nchini aliejulikana kama Dr Modest  Mkali amemwamndikia wema barua ya wazi na kumwambia kuwa huu ndio wakati wake wa kutengeneza jina na maisha yake ya baadae yeye na ndugu zake hasa mama yake mzazi ambae mara nyingi wazazi ndio tegemeo lake.

Shabiki huyo amesema kuwa kuja haja gani Wema kuwa na magari ya kifahari kama hana hata kiwanja au nyumba ya kuishi,kuna faida gani kama anaweza kuanzisha kampuni kubwa iliyokuwa ikiajiri watu wengi na baadae ikafa alafu akaanza yeye kuajiriwa na watu wengine.

download latest music    

Shabiki huyo amemtaka Wema kuwa makini ili maisha yake yasije yakawa kama ya Kanumba ambae aliweza kutengeneza jina kubwa lakini leo hii tangu amefariki mama yake amekuwa ni mtu wa kuangaika tu na kuona picha za matangazo na kuanza kulia lia.

unanunuaaje gari la milliona 40,kama huna kiwanja au nyumba ya kuishi, unataka ustar wakati vitu muhimu katika maisha huna,timiza kwanza basic needs ndio uje kwenye luxury needs.tatizo sisi watanzania tunataka kwanza luxury ndipo tunakuja na basic sasa inakuwa tayari ni too late.matokeo yake tunajikuta tukiishi maisha mabovu kama kina flani flani, hivi inakuingia kailini kweli kwamba mtu kama wema sepetu ambae alikuwa CEO  wa endless fame leo hii anenda kuwa mfanyakazi wa wasafi alafu anaona fresh tu, kama sio kukosa malengo ni nini/

wasanii tuamke jamani, sasa hivi mamake kanumba amekuwa akina picha za mwane analia lia  tu, hakuna wa kumsaidia , angalia uisje kumtesa mama yako kipindi utakapo kufa! 

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.