Shaddy Boo Amkubali Zaidi Zari Kuliko Hamisa

Mwanadada maarufu katika mitandao ya kijamii Shaddy boo amfunguka na kujibu swali aliloulizwa na moja ya mashabiki zake kuhusu ni nani anaweza kumchagua zaidi kati ya hamisa na zari kama ikitokea akaambiwa achague mmpj wapo.

Mwanadada huyo ambae aliwahi kum-attack Zari alipokuwa na mahusiano na Diamond na hata baadhi ya picha zake kusambaa katika mitandao akiwa na msanii huyo hivyo kuhisiwa kuwa mwanadada huyo anaweza kuwa na mahusiano na Diamond Platinumz.

download latest music    

Alipokuwa akijibu maswali hayo katika uwanja wa snapchat, Shaddy boo anasema zari ni mwanamke bora na mama bora zaidi kuliko Hamisa hivyo siku zote chaguo lake litakuwa kwa zari na sio Hamisa.

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.