Shamsa Amjibu Babu Tale Kuhusu Passpoti za Kusafiria.

Baada ya kutangazwa kwa ofa ya wanakamati kwenda afria ya kusini na baadae kuonekana kama safari imeyeyuka hivi, Babu tale alikuja na sababu ya kuwa safari hiyo kwa wanakamati haiwezi kufankiwa kwa sababu wanakamati wengi hawana passpoti za kusafiria.

Baada ya kuongea hivi na Shamsa Ford ambae pia alikuwa moja ya wanakamati amemjibu babu tale na kumwambia kuwa hakuna ukweli wowote kuhusu wasanii kutokuwa na passpoti za kusafiria lakini wanachojua wao ni kwamba waliongea hivyo kama kiki tu na wala sio kitu kingine.

download latest music    

haiwezekanai bhana , msanii gani ambae hana passpoti, mimi mwenyewe ukiniambia kuwa nitembee nayo kila sehemu natembea nayo, ile ilikuwa ni kiki tu.hiyo ni kama kawaida yao kwa wasafi kla wanapoenda ni lazima wafanye kiki ya kuacha alama ya kuzungumziwa.na mimi nawapenda sana wale vijana wanajituma , kila wanapoondoka lazima waache gumzo.Ilikuwa ni kiki tu watanzania inabidi wazoee.

Hata hivyo Shamsa anasisitiza kuwa hata kama ingetokea wakatakiwa kwenda wala hasingeweza kwenda kwa sababu yeye na familia zile ni tofauti kabisa na hakuna mazoea yoyote.

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.