Shamsa, Faiza Ally Wamshambulia Zari the Bossy.

Wasanii wa bongo movies nchini wamefunguka na kumshambulia mwanamama Zari The Bossy kwa kile kinachosemekana kuwa mwanadada huyo amekuwa na dharau sana kwa watanzania na kwamba amekuwa akimtesa sana ndugu yao diamond kuhusu watoto wake,

kwa upande wa Faiza Ally ambae yee amewatolea povu mpaka watanzania wenzake na kusema kuwa wamekuwa wakimuona zari kama mtu muhimu sana wakati hakuna chochote cha maana alichonacho mwanadada huyo.

download latest music    

katika ukurasa wake wa instagram ambapo aliweka picha hiyo na kisha baadae kuifuta , faiza laisema ” wanawake bhana mna ujinga mwingi sana , mnataka watu wote tumuone zari kama mnavyomuona ninyi, mimi ninamuona tu ni mshamba wa kiganda kama washamba wote….msinitagi up*** wenu, kwanza mi mzuri sema maisha tu ndo magumu.

katika posti hiyo hiyo, Shamsa nae akaja na kupigilia msumari na kusema “mtu asiyetabasama muda mwingi yeye kafumba mdomo na hana tabasamu mara nyingi anakuwaga sio mtu mzuri kabisa,wanakuwaga na roho mbaya sana zilizokomaa kiasi kwamba hata kujifanyisha hawezi…

Hata hivyo haya yote yanakuja baaada ya mwanamke huyo kuonekana kukataa kuwaona ndugu na watu wa karibu wa msanii Diamond katika birthday party ya mtoto wake huko Afrika ya Kusini.

 

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.