Shamsa Ford, Faiza Ally na Maimatha Wamburuza Zari Mtandaoni

Mrembo  Zarinah Hassan maarufu kama Zari The Bosslady amejikuta katika vita kali ya maneno katika mitandao ya kijamii na wasanii wa Bongo movie ambao ni Shamsa Ford, Faiza Ally na Maimatha Jesse.

Bifu kati ya Zari na Wasanii hao lilianzia katika suala zinazoendelea la kuhudhuria birthday party ya Tiffah ambapo Zari aliwachana wasanii hao na kudai kuwa wasiende Sauzi maana watachafua nyumba.

download latest music    

Wasanii hao walionyesha kutofurahishwa na kauli hiyo na kumtolea povu zito ambapo Faiza Ally alifikia hatua ya kumuita Zari mshamba kutoka Uganda:

.

https://www.instagram.com/p/BmNO1hVB20g/?utm_source=ig_share_sheet&igshid=1k3ud2823hr96

 

About this writer:

Diana

I am a hard working young woman Aspiring writer with dreams larger than life itself, always living by the principle that live today like there is no tomorrow.