Shetta Akiri Wimbo Wake Kufanana na Aibu ya Nandy

Msanii wa kizazi kipya Shetta amefunguka na kukirikuwa ni kweli wimbo wake huo mpya ambao amemshirikisha Jux umekuwa  ukifafa sana na wimbo wa mwanadada Nandy wa aibu.Shetta anasema kuwa wimbo huo ni moja kati ya nyimbo kali sana alizozienda hivyo hakuona kama ni makosa ilhali aliomba ruhusa ya kutuia beat hilo.

Akiongea na kujibu swala hilo Sheta anasema , aliuenda sana wimbo huo na ndio alipouomba producer Maneck na pia mwenye wimbo ambae ni Nandy na walikubali na ndipo alipotumia beat hilo.

download latest music    

Shetta anasema kuwa watu wengine wamekuwa wakishambulia bila hata kujua chanzo chake wakati yeye kwa mapenzi na wimbo huo alitaka hata kuimba remix yake.

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.