Shetta awapongeza Navy kenzo.

Msanii wa Bongo Fleva, Sheta amelipongeza Kundi la  Navy Kenzo kwa kuefanikiwa kushinda tuzo ya Sound City MVP.

Tuzo hizo ambazo zilitolewa usiku wa kuamkia jana Lagos nchini Nigeria, Navy Kenzo wameshinda kwenye kipengele cha Kundi Bora.

download latest music    

“Hongera sana kwenu Navy Kenzo You guyz make Us proud, Lets support Our Own,” ameeleza Shetta.

Navy Kenzo ndiye wasanii pekee kutoka Tanzania walioshinda tuzo hiyo kwa mwaka huu licha ya wingine kuteuliwa kushiriki.

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.