Shilole Aanika Mjengo Wake Wa Thamani

Staa wa muziki wa Bongo fleva Zuwena Mohamed maarufu kama Shilole ameweka wazi Mjengo wa thamani ambao anajenga hivi sasa kwa kipato cha muziki na kuuza chakula.

Shilole ni msanii ambaye ametoka mbali kimaisha kwani alianza harakati za kutafuta riziki kupitia kuigiza Bongo Movie mpaka Bongo fleva na sasa anamiliki mgahawa wake wa chakula.

download latest music    

Lakini pamoja na kuanza harakati za maisha kama mama ntilie wa watoto wawili lakini leo hii Shilole ameanika mjengo wake mpya Kupitia ukurasa wake wa Instagram ambapo ameandika:

https://www.instagram.com/p/BmsSdHzBON3/?utm_source=ig_share_sheet&igshid=9a8zoul98xo

About this writer:

Diana

I am a hard working young woman Aspiring writer with dreams larger than life itself, always living by the principle that live today like there is no tomorrow.