Shilole Amlilia Diamond Amuoe Zari

Msanii wa muziki wa Bongo fleva Zuwena Mohamed maarufu kama Shilole ameibuka na mapya Baada ya kumuomba Diamond amuoe Zari.

Tukio hilo lilitokea siku ya Leo katika viwanja vya Leaders Club ambapo RC Makonda alikuwa anaongea na wasanii ndipo Shilole alipoibuka na ombi lake hilo.

download latest music    

Shilole alimuomba Diamond arudiane na mama Watoto Wake Zarinah Hassan ambaye waliachana mwaka jana na kumtaka amuoe kabisa kwani Ndiye mwanamke anayefaa kuwa mke wake .

Tazama Video hii kwa taarifa zaidi:

 

About this writer:

Diana

I am a hard working young woman Aspiring writer with dreams larger than life itself, always living by the principle that live today like there is no tomorrow.