Shiloleh Amkumbuka Sharo Millionea

Mwanadada Shiloleh amefunguka na kusema kuwa moja kati ya watu anaowakumbuka sana katika maisha yake  ni msanii sharo millionea ambae amefariki miaka mingi nyuma kuwa ndio alikuwa alimpenda na kumchukulia kama ndugu yake katika sanaa.

Shiloleh ambae aliongea na ilifika sehemu alishindwa kuendelea kuongea anasema kuwa , Sharo Millionea alikuwa hawezi kukaa mbali na yeye kiasi kwamba hata alipokuwa akitaka kwenda kulala alikuwa radhi alale sebleni .

download latest music    

Ikumbukwe kuwa shilole  na Sharo Milionea walikuwa marafiki sana kiasi kwamba ikifikia hatua baadhi ya mashabii walikuwa wakihoji sana mahusiano yao kutokana na ukaribu wao.

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.