Shiloleh Apiga Marufuku Mumewe Kutumika Katika Video.

Mwanadada Shilole amefunguka na kusema kuwa hataki kusikia mtu yoyote anataka kumtumia mume wake katika video yoyote kwa sababu wamekuwa wakimsumbua kila maa hasa baada ya mwanaume huyo kuonekana katika mja ya video ya shiloleh mwenyewe.

Akiongea na waandishi wa habari wikiendi hii alipokuwa katika uzinduzi wa albumu ya msanii Nandy , Shiloleh anasema kuwa inawezekana kwli wengine wanataka kufanya nae kazi kwa nia nzuri lakini yeye hataki  kumuona mume wake katika video za watu wengine.

download latest music    

no nilishamwambia kabisa dont do that, unajua kuwa kuna muda wamekuwa wakimtafuta tu lakini mimi nilishakataa kabisa kufanya nao kazi, ingawa wanaweza kutaka kumchukua kwa nia nzuri lakini sitaki kabisa, na ninatangaza kabisa kuwa sitaki msanii yoyote kumtumia mume wangu

Shiloleh na uchebe wamefunga ndoa mwanzoni mwa mwaka huu na mpaka sasa wanaingai katika idadi ya wasanii wachache walioweza kukaa muda bila kuwa na mikwaruzano ya hadharani

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.