Siendi kwenye show bila milioni 5:-Shilole

Mwanadad shiloleh amefunguka na kusema kuwa katika muziki wake hawezi kufanya show bila kuwa na makubaliano ya malipo ya kiasi cha shilingi milioni tano na yule anaemuhitaji la sivyo hawezi kwenda.

Shiloleh ameyasema hayo siku ya leo alipokuwa katika kipindi cha leo tena akiwa na mume wake wa ajili ya kutambulisha wimbo wake mpya.

download latest music    

Shiloleh anasema kuwa amekuja kutafuta pesa hivyo hawezi kufanya kazi bila kuwa na makubaliano ya pesa hiyo labda iwe ni tamasha wa ajili ya kuwasaidia na kusapoti wanawake wenzake.

Bila milioni tano mimi sifanyi show. siendi kwenye show kwa sababu ya maisha,mimi ni brand kubwa hivyo tukikubaliana naenda ila  ila siend kwenye shoo bila milioni tano.Na hii inajulikana kabisa labda wanawake wenzangu ndio ntawasaidia  ambao  ambao wanajituma kwa kuandaa matamasha.

 

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.