Siku chache baada ya kuonyesha mtoto kwenye mtandao, Ndoa ya Nuh Mziwanda kukumbwa na matatizo

Image: Nuh Mziwanda

Nuh Mziwanda anaonekana mwenye furaha kwenye mitandaoni lakini ndoa yake sio shwari hata kamwe.

sababu moja kuu ni uvutano uliyopo kati ya mke wake na familia yake ambayo haikufurahia Nuh Mzinwanda kiuingia uislamuni ili kumuoa.

download latest music    

Mama yake Nuh ndio aliadhirika ata zaidi kwa sababu yeye anafuata mambo ya kanisa sana.

Stori hii ilibainika wazi wakati Soudy Brown alipata kuzungumza na mke wa Nay katika U heard Cluds FM.

“Nilimwambia mama unachelewa, mwambie aniache. Na anajua kuwa mimi sijaolewa na mwanawe, ila anajua nimezaa tu na mwanawe. Kwenye sherehe ya harusi hakuwepo, alikuwa kwenye msiba. Yule mama ni mzee wa Kanisa, alikuwa anataka niende kanisani nibadili dini ndio niolewe.” Mama Anya alisema.

About this writer:

Irari Ngugi

Lover of life, lover of big boobs and certified celebrity squasher. Catch me if you can on facebook as Irari Ngugi