Sikutaka Mwanaume wa Kunilamba Lips :-Shiloleh

Mwanadada shiloleh amefunguka na kusema kuwa ndoa yake inaendelea vizuri na hata hakuna anayemaini kuwa ndoa ile iliyosemwa sana ingeweza kutulia na kufikia hatu ailiyofikia sasa hivi kama wengi walivyokuwa wakidhani.

Shiloleh anasema kuwa alipoanza mapenzi alikuwa akikuta na wanaume tofauti tofauti ambao hawakuwa wamefikia kiwango alichokuwa akikitaka yeye cha kutokubembelezwa kama  walivyokuwa wakifanya lakini alipokuata na Uchebe aliona kuwa uyo ndio mwanaume aliyekuwa akimtaka.

download latest music    

Shiloleh anasema kuwa alikuwa akitafuta mwanaume ambae akikosea anweza kumpa za uso na akamrekebisha na sio kumbembeleza au kumuogopa tu bila kuwa na ukali ndani yake na ndio maana tangu amefunga ndoa watu wamekuwa wakishangaa sana mafanikio yake.

sikutaka mwanaume wa kunilamba lips, nilitaka mwanaume ambae nikizingua nakula za  uso na anayesimama kama mwanaume na watu waliongea mengi sana kwanini uchebe  na sio mwanaume  mwingine lakini kwa  sasa wanashangaa mafanikio yangu.

 

 

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.