Simuonyeshi Mwanaume Wangu Katika Media kwa Sababu Hatuna Malengo;-Faiza
Mwanadada Faiza Ally amefunguka ya moyoni na kuelezea kiundani sababu gani iliyomfanya hashindwe kuwa namuweka wazi mpenzi wake ambae ni baba wa mtoto wake wa pili , Faiza ambae amekuwa akiweka picha isiyo taka kumuweka suara mwana ume huyo amesema kuwa sababu kubwa ni kutokana na kuwa hawana malengo yankusihi pamoja na mwanaume huyo lakini sio kwa sababu ni mume wa mtu kama watu wengi wanavyosema.
sipendi kumuonyesha kwa sababu hatuna malengo , hatutegemei kuishi pamoja wala kuoana kwaio i take my time ,when times come kuonyesha kwenye media nitafanya hivyo.
Faiza anasema kuwa lengo kubwa ilikuwa nikuzaaa watoto wawili kabla hajafikisha miaka 35 na ndio maana amefanikiwa kwa hilo lakini swala la ndoa bado analifanyia kazi.