Simuonyeshi Mwanaume Wangu Katika Media kwa Sababu Hatuna Malengo;-Faiza

Mwanadada Faiza Ally amefunguka ya moyoni na kuelezea kiundani sababu gani iliyomfanya hashindwe kuwa  namuweka wazi mpenzi wake ambae ni baba wa mtoto wake wa pili , Faiza ambae amekuwa akiweka picha isiyo taka kumuweka suara mwana ume huyo amesema kuwa sababu kubwa ni kutokana na kuwa hawana malengo yankusihi pamoja na mwanaume huyo lakini sio kwa sababu ni mume wa mtu kama watu wengi wanavyosema.

sipendi kumuonyesha kwa sababu hatuna malengo , hatutegemei kuishi pamoja wala kuoana kwaio i take my time ,when times come kuonyesha kwenye media  nitafanya hivyo.

Faiza anasema kuwa lengo kubwa ilikuwa nikuzaaa watoto wawili kabla hajafikisha miaka 35 na ndio maana amefanikiwa kwa hilo lakini swala la ndoa bado analifanyia kazi.

download latest music    

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.