Sio Kila Siku Apate Tuzo Wema, Tupate na Wasanii Wapya :-ESMA

Mwanadada Esma Platinumz alifungua usiku wa tuzo za SZIFF na kusema kuwa itakuwa inapendeza zaidi kama katika tuzo hizo angepatikana msanii wengine wa kupata tuzo lakini sio kila siku kusikia wasani  wale wale kama Wema Sepetu.

Esma alijibu hayo alipooulizwa ama anadhani wema anaweza kupata tuzo kwa usiku huo ndipo aliposema kuwa antegemea kuwa watapata wengine pia maana wenye vipaji wako wengi,

download latest music    

akiongea na waandishi Esma aliwajibu hivi”

sio kila siku tuzo apate wema tu , tunataka tupate na wasanii wengine wapya pia , sio kila siku tunakuja hapa tunaanza kusema tunategemea Wema Apate tuzo inakuwa Kama hakuna wasanii wengine wa Kupata hizo tuzo, inakuwa kama hakuna watu wengine wenye vipaji , kwaio tunapenda pia watokee na wengine wapate tuzo.

Hata hivyo icho ndicho kilichokuja kutokea baada ya tuzo kupatikana kwa sababu hakupata mwanadada wema sepetu hakupata tuzo hizo.

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.