Sio kwa Sababu Msanii Basi Ukae Ndani Kama Mtoto:-Shiloleh

Msanii wa kike nchini , shiloleh anaweza kuwa ni moja ya wanawake jasiri na wenye moya wa pekee,hii haimaanishi kuwa wengine hawapaswi kupewa pongezi hizi, lakini pale mtu anapofanya jambo zuri kwa jamii ni bora kumsifia na kumpa pongezi zake ili wengine waige na pia kuendlea kumtia moyo mhusika.

Katika msiba wa Agness Masogange, msanii Shilole aliwahi kufika kwenye msiba huko mbeya pamoja na kwamba alikuwepo pia Leaders Club kwa ajili ya kuaga mwili wa marehemu . alkini hata alipofika jijini mbeya shilole alionekana kuwa busy sana hasa upande wa jikoni,

download latest music    

Shilole mwenyewe anakwambia kuwa yeye ni mtoto wa kiek hivyo isngekuwa rahisi kukaa ndani tu wakati kuna kazi nyingi nje zilikwa zikitakiwa kufanyika hasa katika swala la kupika.Shilole aliweka umaarufu na usanii pembeni na kuamua kuingia jikoni kusaidia wanawake wengine.

hii ni kazi ya wanawake , ukiwa msanii sio kwamba lazima ukae ndani tu , wewe sio mtoto kwamba unatakiwa kukaa ndani tu lazima ujishughulishe na wanawake wenzio, kwaio mimi nilivyofika tu nikauliza jiko liko wapi,kabla ya kuzika inabidi watu wale na kuna wengine waliopoa hapa pia ni watu wanahitaji msaada.uUkiwa mwanamke ni lazima ukae na wanawake wenzio ufanye kazi.

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.