Sitaki Kumsikia Ben pol Sasa Hivi:-

Mwanadada muigizaji na mchekeshaji maarufu nchini Ebitoke amefunguka kwa hasira na kusema kw ahataki kumsikia ben pola katika masikio yake kwa sababu Ben pol amekuwa hatokei katika nbaadhi ya matukio yake muhimu pamija na kwamba anakuwa amempa mwaliko wa sehemu hizo.

Akiongea usiku wa kutambulisha trailer ya filamu yao mpya ya Sema , Ebitoke amesema kuwa pamoja na kwamba yeye na ben wamekuwa pamoja na bado hawajaachana lakini anashangaa kwanini Ben pol ajatokea katika uzinduzi huo.

download latest music    

Yaan hapa tunaongelea sema habari za Ben Pol calm down kwanza,nilimpa kadi kabisa na ninaona hajafika  sijui ni sababu gani  na nimempigia simu hajampokea kwaio sitaki kumsikia kabsia ben pol hapa sasa hivi.mimi na ben pol hatuwezi kuwa basi bado tuko pamoja na tuna slay a king na queen lakini kwa sasa tuongele movies tu.

Wiki chache zilizopita mwanadada huyo alipofanya interview na  waandishi wa habari alisema kuwa amechoshwa na mambo ya Ben Pol hivyo anaona bora kuachana nae lakini wikiend hii anaongea tena na kusema kuna muda wanakwazana na kufikia hatu ya kuwa na hsira hata kuona bora waachane lakini bado anamuitaji sana ben pol.

 

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.