Siwezi Kuongea na Diamond Labda Biashara tu :-Shetta

Msanii wa muziki wa kizazi kipya Shetta ambae ni  mkurugenzi wa Kings Empire lakini pia meneja ya The Mafik amefunguka na kusema kuwa kwa hali ilivyo sasa kati yake na Diamond hawawezi kuongea kitu chochote zaidi ya biashara tu .

Akitoa sababu kwanini hawakuweza kuendeleza ushikaji kati yake na diamond ilihali walikuwa marafiki wakubwa na hata familia zao zilikuwa karibu sana na kufanikiwa kufanya kazi pamoja shetta ansema kuwa kamwe hawawezi kuwa marafiki tena labda mahusiano ya kibiashara tu.

download latest music    

hakuna tatizo kati yetu ila sema tu ndo hivyo kwa sasa kila mtu yuko na mishe zake tu za kimasiha na hata kama tutaongea itakuwa ni mazungumzo ya kibiashara lakini sio ushikaji tena.

 

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.