Snura Ajibu Atuhuma za Kuiba Mwanaume Wa Nisha

Msanii wa muziki bongo Snura Mushi maefunguka na kudai kuwa hana mahusiano yoyote na wanaume anaejulikana kwa jina la Minu kama ambavyo imekuwa ikisambaa katika mitandao kuwa anatemeba na mwanaume huyo kisa tu amemu-wish mwanaume huyo kheri katika siku yake ya kuzaliwa.snura amesema kuwa kati yake na minu kumekuwa na urafiki tu tena sio wa muda mrefu kama ambavyo watu wamekuwa wakizusha.

Mwanaume huyo ambae alikuwa mwanaume wa Nisha Bebe, msanii wa bongo movies inasemekana kwa aliibiwa na Snura kutoka kwa Nisha .

download latest music    

Tetesi hizo zilianza kusambaa baaada ya Snura kuweka picha ya kijana huyo na kuandika anampenda sana sana huku akimtakia kheri kwa siku yake ya kuzaliwa ndipo watu walipoanza ku-judge na kusema kuwa mwanaume huyo ameibwa kutoka kwa Nisha kwa sababu ni siku chache tu katika ukurasa wa Nisha aliandika akionekana kulalamika kuwa akuna watu wamemuibia mwanaume aliyekuwa nae.

Snura alisema kuwa minu na yeye walijuana baada ya nisha mwenyewe kumpa namba yake ili wafanye kazi ya muziki pamoja kwa sababu mwanaume huyo ni mwandishi wa mashairi.

huyo Minu sio mpenzi wangu na wala hatuna muda mrefu tangu nimejuana nae , kuna siku alinitafuta baada ya kupewa namba yangu na  nisha kwa sababu alipewa alikuwa ameandika wimbo ambao aliona mimi ninafaa kuuimba.sasa nimemtakaia kheri ya kuzaliwa na kumwambia kuwa ninampenda basi imekuwa kosa.

Nisha amekuwa akilalamika kila kukicha kuwa kila mwanaume anaekuwa nae katika mahusiano anachukuliwa na mwanamke mwenzie na kuacha mpweke.

 

 

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.