Snura Atabiriwa Kupotea Kimuziki Baada Ya Kubeba Ujauzito Wa Kibenten

Msanii wa muziki wa Bongo fleva nchini Snura Mushi maarufu kama Malkia wa Uswazi amedaiwa kuwa anaweza akapotea kimuziki baada ya kubeba ujauzito wa kibenten chake.

Kumekuwa na tetesi nyingi Kwenye mitandao ya kijamii kuwa Snura amebeba ujauzito wa mpenzi wake kibenten ambaye pia ni msanii mwenzake Muna Calypto.

download latest music    

Hofu kubwa ya wadau ni kuwa huenda Snura akapoteza soko lake Kimuziki na kumtabiria kupoteza mashabiki endapo atazaa sahivi basi huyo atakuwa mtoto wake wa tatu.

Kwenye mahojiano na Kipindi cha Enews ya East Africa Tv, Maneja wa Snura anayejulikana kama HK amedai hakuna tatizo lolote kama Snura ni mjamzito na wala hawezi kushuka Kimuziki:

Kwa jinsi ninavyomjua Snura ni mtu ambaye hajawahi kutoa ujauzito na wala hafikirii kufanya hivyo kwaiyo atazaa kama kawaida na suala kushuka Kimuziki sidhani na haiwezi kutokea kwa sababu yule ni mtoto wa kike na lazima atapata watu wa kuja kumsaidia baadae”.

Lakini pia Meneja huyo amesisitiza Snura akishazaa atarudi Kwenye chati kwani alizaa mtoto wake wa Pili na akarudi kama kawaida na kutoa nyimbo kali kama kawaida hivyo mashabiki wasubiri baada ya miezi

About this writer:

Diana

I am a hard working young woman Aspiring writer with dreams larger than life itself, always living by the principle that live today like there is no tomorrow.