Snura Kubadilishwa Mavazi na Mwanaume Wake

Pamoja na kuwepo kwa tetesi nyingi na migongano mingi sana kuhusu penzi jipya la Snura na mwanaume aliyekuwa akisemekana kuwa ni mwanaume wa Nisha, mwanaume huyo anaejulikana kwa jina la Minu amesadikika kumbadilisha namana ya kuvaa mwanadada huyo na kumtaka avae nguo za kumsiti kutokana na umbo lake.

Mwanaume huyo ambae inasemekana kuwa ni mshika dini pia inasemekana kuwa hakuwa anapenda kumuona Snura akivaa nguo zake za kubana au kujiachia sana hivyo amemtaka kuvaa nguo za kujistiri sana na mwili wake kwa sababu anaona kabisa kuwa nguo nyingi akivaa zinakuwa zinatoa ushawishi kwa wanaume.

download latest music    

Akiongea na waandishi wa habari moja ya marafiki wa snura anasema kuwa anaona kuwa minu alikuwa anaogopa kuibiwa hasa kwa sababu ya kuwa mwaamke huyo amekuwa na umbo la kuvutia sana hasa anapovaa nguo za kubana.”jamaa naona amehisi ataibiwa kwaio amemwambia abadilike na abadilishe mavazi.”

Alipopigiwa simu na kuilizwa kuhusu tetesi hizo, snura aliangua kicheko na kusema “hahaaaa nimeamua tu kubadilika mwenyewe.’

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.