T.I.D Atupilia Mbali Kejeli za Kuitwa Mtoto wa Mama

Msanii wa muziki mkongw nchini T.I.D ametupilia mbali maneno ya kejeli ya wasanii wenzake wanapomiwta kuwa yeye ni mtoto wa mama kwa sababu tu amekuwa akiishi nyumbani kwa mama yake na hataki kuahama hapo.

Hata hivyo msanii huyoahafu, ameonekana kutokujali swala hilo na kusema kuwa hata watu wanaokaa na kujaji swala hilo  Hawana cha maana wanachomiliki zaidi ya maneno katika mitandao ya kijamii.

download latest music    

mimi sijali pale mtu anaponiita mtoto wa mama kama yeye mwenyewe anatembea kwa miguu na wengine wanalala getto, wachafu, wananuka mdomo,  .Mimi sijali kwa sababu mimi ni very famous guy in this time.

T.I.D akiwa kama moja ya wasanii wakongwe, anasema  kuwa amekuwa na shida ya kutapekiwa pesa zake na platform za muziki kwa kuwa wao wanauza muziki wake na wanashindwa kumlipa.

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.