T.I.D awaonya AZAM TV kuhusu Filamu ya Girlfriend

Msanii wa muzii wa kizazi kipya TID amefunguka kwa hasira na kuwapiga marufuku televisheni ya AZAM Tv kwa kitendo chao cha kuwa wanacheza filamu  ya GIRLFRIEND bila kuwa na ruhusa yake yeye kama mmiliki wa filamu hiyo na bila kutoa malipo yoyote.

T.I.D ameandika katika ukurasa wake wa instagram na kuelekeza malalamiko hayo kwa TV hiyo na kusema kuwa amekuwa akiwadai zaidi ya milion 300 lakini wanashindwa kumlipa na bado wanaendelea kucheza filamu hiyo bila kumlipa kitu chochote.

download latest music    

Akiandika katia ukurasa wake .T,I.D anasema

T.I.D anasema kuwa haoni haja ya ucheza filamu hiyo katika tv yao kama hakuna faida yoyote anayoipata kama msanii na mmiliki wa filamu hiyo ambayo iliwahi kushika nafasi kubwa sana katika filamu bora na zenye kufundisha sana.

 

 

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.