Diamond na Alikiba kumenyana Nigeria katika tuzo la AFRIMA 2017

Wasanii kadhaa wameteuliwa katika vipengele mbalimbali vya tuzo za AFRIMA 2017. Diamond na Alikiba ni miongoni mwa wasanii ambao waliteuliwa katika tuzo hilo ambalo huandaliwa Nigeria.

Diamond na Alikiba wameteuliwa katika kundi moja; Best Male Artiste, Eastern Africa. Tazama listi hio hapo chini:

Best Male Artiste, Eastern Africa

Diamond Platnumz –Eneka (Tanzania)

Sinishaw Legesse – Selam (Ethiopia)

Qritiqual- Malika (Kenya)

Kibrom Birhane – Eskista (ft Nassmbu Barasa)  (Ethiopia)

Henok Mehari Brothers – irkir Yishala (Ethiopia)

Alikiba – Aje (ft M.I)  (Tanzania)

Octopizzo – TBT (Kenya)

Mura K.E – Excuse My Language                (Kenya)

 

Best Female Artiste, Eastern Africa

Julianna Kanyomozi – I Am Still Here (Uganda)

Chess Nthussi – Give it to You (Kenya)

Victoria Kimani – Giving You (ft Sakordie) (Kenya)

Lady Jaydee – Sawa Na Wao (Tanzania)

Venesa Mdee – Cash Madam (Tanzania)

Wayna Wondersonn – You are not Alone (Ethiopia)

Nandy – One Day (Tanzania)