Bi. Hindu Amtaka diamond kuiga mfano wa Alikiba kwenye Kuoa

Moja ya watnagzaji na wasanii wakongwe katika snaa Bi hindu amefunguka na kuwafunda wasanii huku akimtaka msanii Daimond platinumz kufanya uamuzi wa kuoa kwa sasa kwa sababu umri wake umeenda na anazidi kuongeza watoto.

Bi hindu amemtaka Diamond kuiga mfano wa msanii mwenzake Alikiba mabe aliamua kuoa kimya kimya baada ya kuona kuwa muda wake wa kuoa umefika na ndoa yake imekuwa ya heshima sana.

Bi hindu pia nasema kuwa kwa umri wake kwa sasa angeacha taba yake ya kuimba nyimoz za matusi kwa sababu pa ya jina lake ambalo lmekuwa kubwa na kutunza heshima yake, maneno haya yanakuja  baada ya mfululizo wa matukioa ya adhabu na pia kufungiwa kwa msanii huyo kutokana na utovu wa nidhamu katika nyimbo anazotunga.

Tunaweka Kazi Mbele Kwanza na wala Hatuingilii Team Zao:-Navy Kenzo

Wsanii ambao pia ni wapenzi wanaounda kundi la navy kenzo aika na nahrel wamefunguka na kusema kuwa kitu kikibwa mabacho muda wote kimekuwa kikiwasaidia hata kufanya kazi na wasanii tofauti tofauti ni kwa sababu hawaangalii mitandao inasema nini bali kazi kwanza.

Hata hivyo wasanii hao wanasema kuwa pamoja na kwamba Alikiba na Diamond ni mahasimu wakubwa lakini kilichowasaidia wao kufanya nao kazi na wasanii hao ni kwa sababu wamekuwa wakijali sana kufanya kazi zaidi kuliko kuangalia maneno ya mashabiki mitandaoni wanasema nini kuhusu wasanii hao.

kilichotusaidia sisi kufanya kazi pamoja na Diamond na Alikiba ni kuweka kazi mbele, wala sio kuingilia team zao.sisi tupo very positive  tunaangalia sana kazi na muziki kuliko maneno ya  watu.

 

 

Tanzania ma-role Model ni Alikiba na Diamond, Hatuwei Kuwa na Taifa Lenye Uchumi Imara:-Eng.Barozi

Mwenyekiti wa bodi ya usajili wa waandishi Tanzania,Eng. Barozi  amewataka waandisi kufanya kazi kwa uadilifu na weledi wa kazi  ili kukuza uchumi wa tanzania na kuwaanda vijana wengine wataokuja kufanya kazi kama walivyokuwa wakifanya wao kwa kuwarithisha vijana uadilifu kazini.

Akiongea katika mkutano wa 50 wa waandisi Tanzania , Barozi anasema kuwa bado kuna kazi kubwa ya kutengeneza uchumi wa taifa kwa kutengeneza watendaji wenye kupenda kazi”bado kuna kazi kubwa ya kuwaendeleza wanafuzni kuja kutamani kufanya tunachofanya kwa uadilifu, na hii ni kuwasaidia wale waliopo shuleni na vyuoni.”

Tumepita katika mashule na ukiwauliza watoto wanakwambai role model wako wanakwambia Alikiba n Diamond , hatuwezi kuwa na uchumi uliokoma kama hatutakuwa na waandisi  bora.

Bright Awaumbua Alikiba na Diamond,Asema Hawajulikani S.A

Msanii wa kizazi kipya ambae alikuwa akitamba sana tangu ametoa nyimbo zake zaidi ya tatu mfululizo na kupokelewa vizuri na mashabiki bright ameamua kuwaumbua na kuwalipua wasanii wakubwa bongo diamond na alikiba kwa kusema kuwa hata wao ni wasanii wa kawaid a sana wanapofika Afrika ya Kusini na wakati hata hawajulikani sana kama vile watu wanavyofikiria.

Bright ambae alikuwa South Afrika siku za hivi karibuni alisema kuwa hata alipokuwa akitembea baadhi ya sehemu na kwa anawauliza watu kama wanawafahamu wasanii kutoka Tanzania kwa kuwatajia jina la Alikiba na Diamond, watu wa kule walikuwa wakikataa na kusema kuwa hawawajui watu hao.

Wakati nipo kule South africa,nilikuwa nikiwauliza baadhi ya mashabiki kaama wanawafahamu wasanii wa hku kwetu,niliwauliza kama Diamond wanamjua wakasema hawamju na Alikiba pia.

Hata hivyo Bright alisema kuwa kwa upande wa wabongo wamekuwa wakiwajua wasanii watanzania sana lakini ukizungumzia wazawa wanaowajua diamond na alikiba sio wengi kama ambavyo watu wanavyofikiria kujulikana kwa wasanii hao nje ya nchi.

Hata hivyo Diamond na Alikiba wamekuwa wasanii wkaubwa na wamejitahidi kutengeneza fan-base kubwa afrika na duniani kwa ujumla, inaezekana kuna baadhi ya maeneo wasanii hao wasijulikane sana kama sehemu nyingine .

Ingawa bado haijulikanai kwanini Bright alikuwa akitaka kujua kujulikanakwa wasanii hao nje ya nchi kungemsaidia nini lakin pia hii inaweza kuwa changamoto kwa wasanii wenyewe kuwa bado wanakazi kubwa ya kuwafanya mashabiki wawajue na kupenda muziki wao.